Sikiliza Clouds FM Live station ya watu.

Monday, March 29, 2010

President Kagame in London for The Commonwealth Flag raising Ceremony- London, 8-11 March 2010



              Wa kwanza Kushoto ni mke wa Nwanko Kanu,halafu wa pili kushoto hahitaji kutambulishwa kama wewe ni mshabiki mzuri wa mpira wa miguu au timu iliyokuwa ikiitwa super eagles,halafu mzee mzima Kagame na his beloved gorgeous wife Jeanette.
              Nchi ya Rwanda sasa imekuwa mwanachama kamili wa jumuiya ya madola.Hii ni muungano wa nchi zote zilizowahi kutawaliwa na Uingereza.Mojawapo ya faida za kujiunga huko ni makubaliano mazuri kati ya nchi wanachama ya kuuza na kununua bidhaa mbalimbali kwa masharti na gharama nafuu.Kazi nzuri Paul.

No comments:

Post a Comment