Sikiliza Clouds FM Live station ya watu.

Friday, July 29, 2011

Mdau wa libeneke atolewa ushamba DC

Sunday, July 24, 2011

UHURU KWA WATU WOTE NI THAMANI KUBWA SANA

Watu wetu kule Tanzania wanazungumza sana juu ya ukosefu wa bidhaa na uchaguzi finyu.Ukosefu wa umeme na maji safi ingawa wana hela za kulipia na wanamahitaji makubwa sana,ukosefu wa hospitali zenye tiba nzuri na za kutosha kusaidia wananchi wote,sheria mbovu zilizozorota kuanzia sheria za barabarani mpaka za uendeshaji wa biashara na usalama.
    Nchi zilizoendelea serikali zao zinaboresha na kuangalia tu utendaji wa wananchi wake na makampuni ya kibiashara lakini haijihusishi  kwenye shuhuli zozote za kuchagulia au kuamua watu wafanye nini.Filosofia ya nchi zilizoendelea kiviwanda ni kwamba kama tunania ya kufanya maisha ya watu wetu kuwa mazuri sana,jinsi ya kufanikisha hilo ni kuwapa kila mwananchi uhuru wake wote.Sababu ni kwamba Uhuru wenyewe kwanza kabisa ni kitu kizuri kwa binaadamu wote na pia kama kila mtu yuko huru basi ataweza kujiamulia mambo yake mwenyewe na kuchagua mambo yanayompendeza yeye mwenyewe kwa manufaa yake bila kuamuliwa na mtu yeyote.Jinsi ya kuuzidisha uhuru wa kila mtu mpaka kileleni kabisa ni kuwaongezea uchaguzi wa kila kitu chenye thamani kwenye maisha yao.Wanapokuwa na mambo mengi ya kuchagua wanakuwa na uhuru zaidi na wanapokuwa na uhuru zaidi maisha yao yanakuwa mazuri zaidi.

   Mfano mzuri nikienda dukani kununua dawa ya mswaki kuna aina 52 ambazo zote zinatangaza kwamba zinafanya kazi nzuri ya kusafisha na kung'arisha meno.Kampuni yangu ya bima ya afya wamenipa mhimili wa madaktari wa kuchagua kama dakitari wetu wa familia,mpaka sasa wako 24 bado sijachagua hata mmoja manake nimeongea na kila mmoja anasema anatoa huduma nzuri,natafuta shule za chekechea kwa mtoto wangu Makayla nae anapata shida kuchagua pia kwahiyo anabaki kusema anataka kwenda shule rafiki zake wanayoenda, bima yangu ya sheria (legal insurance) nao wamenipa mhimili wa wanasheria wa kuchagua kama nikipata tatizo la sheria bado nimeshindwa kuchagua mwanasheria,nilipokuwa nataka kununua gari nilikuwa nashindwa kuchagua,je ni honda,toyota,chevy,ford,gmc,mitsubishi na listi inaendelea zaidi na zaidi.Na kwenyewe ndani ya honda au toyota kuna aina nyingi pia.Kila aina ina manufaa na matatizo yake.Uchaguzi wa bidhaa fulani kwasababu ya manufaa kadhaa kunasababisha kukosa manufaa ya bidhaa ambazo hazimo kwenye chaguo.Wasomi wa kiuchumi wanaita ukosefu huo gharama mbadala (opportunity cost).Hii ndio shida mojawapo ya watu wanaoishi kwenye nchi zilizoendelea kiviwanda.
Kwa hivyobasi ilituweza kusonga mbele kwa pamoja ni muhimu kila mtu kuutambua uhuru wake.
Asanteni sana,
Wasalaamu David.

Wednesday, July 20, 2011

One Inspiring Tanzanian woman!

Tuesday, July 19, 2011

Ziara ya waziri Mrema kwa Queen Elizabeth uingereza.

a ziara of mrema in UK the result to BONGO

Heh...
While visiting England, Mr. Mrema The Chairman of
TLP, is invited to tea with the Queen. He asks her what
her leadership philosophy is. She says that it is to
surround herself with intelligent people. He asks how
she knows if they're intelligent.
"I do so by asking them the right questions," says
the Queen.
"Allow me to demonstrate."
She phones Tony Blair and says, "Mr. Prime Minister.
Please answer this question: Your mother has a child,
and your father has a child, and this child is not
your brother or sister. Who is it?"
Tony Blair responds, "It's me, ma'am."
"Correct. Thank you and good-bye, sir," says the
Queen.
She hangs up and says, "Did you get that, Mr.
Eliatonga?"
"Yes ma'am. Thanks a lot. I'll definitely be using
that!"
Upon returning to DAR , he decides he'd better put the
minister of infrastructure Mr. mramba to the test.

He invite Mr. Mramba and says,
"Heh brother, I wonder if you can answer a question
for me."
"Why, of course. What's on your mind?"
"Uh, your mother has a child, and your father has a
child, and this child is not your brother or your
sister. Who is it?"
Mramba hems and haws and finally asks, "Can I think
about it and get back to you?" Mrema agrees, and
Mramba leaves.
He immediately calls a meeting of other senior
oposition parties and they puzzle over the question
for several hours, but nobody can come up with an
answer.
Finally, in desperation, Mramba calls Magufuli, the
former minister of his ministry, and explains his
problem.
"Now look here Magufuli, your mother has a child, and
your father has a child, and this child is not your
brother, or your sister. Who is it?"
Magufuli answers immediately, "simple, It's me, of
course.
Much relieved, Mramba rushes back to Mrema and
exclaims,
"I know the answer! I know who it is! It's Magufuli,
the former minister of my ministry!!!!!!"
And Mrema replies in disgust,

"PUMBAVU mkubwa wewe, ovyo kabisa, It's Tony Blair.

Sunday, July 17, 2011

Friday, July 15, 2011

Mohamed Dewji

Mohammed Dewji “Mo” was born on the 08 th of May, 1975 in Ipembe ward, Singida. He is the seond child of Mr and Mrs Gulam Dewji and has five other siblings. Mo received his primary education in Arusha at the Arusha Primary School and finished his secondary education from the International School of Tanganyika (IST) in Dar Es Salam. In 1992 his parents decided to send him to America for his High School years and he was admitted to the Saddle Brooke High School in New Jersey.
It was at High School that Mo first started exhibiting signs of leadership by becoming the School President. Being a Tanzanian and holding such position in a foreign land made his family very proud. He was also voted as the Most Accomplished student at the time and it is notable to mention here that his school mate Jeniffer Capriati a very famous U.S tennis player won the same vote in the women's section.
After finishing his high school studies Mo continued with his university education in USA and joined one of the renowned university, Georgetown University in Washington D.C majoring in International Business and Finance and taking Theology as a minor subject.

Georgetown University is famous for its good education. Notable alumni of the University include 42nd U.S President Bill Clinton, Philippines president Gloria Arroyo, Jordan's King Abdullah and NBA players like Allen Iverson and Patrick Ewing.During his time at Georgetown, Mo started to analyze his life,.He was trying to balance the Western way of life with his native African way of living. He thought that much more could be done for his countrymen through some very basic changes and way of running things. He started to focus and prioritize what he wanted to gain from his education and experience in America. After Graduation in 1998 Mo headed straight back to Tanzania and joined the family business. He became Chief Financial Controller at Mohammed Enterprises Tanzanian Limited (METL).
Apart from joining Business Mo also started expanded his social activities by becoming sponsoring company of The Simba Sports club of Dar Es Salaam.
In 2000 Tanzania hosted its second multiparty elections' stood in those elections for his home constituency Singida as a member of parliament. He won the preliminary votes in CCM (ruling party) with overwhelming majority, but the joy was short lived as he was not nominated to contest for the seat by the party on grounds that he was too young. (He was just 25 on that time).

Despite the decision of the party Mo did not loose hope and he did his level best to campaign for the candidate chosen by the party and made sure the party's interest are given priority over his own ambition.
After the elections Mo continued many activities to help the people of Singida's and also spent his time and investment in various sports ventures. He increased his sponsorship deals with Dar Es Salaam outfit Simba Sports Club and spent more than 100 millions Tanzanians shillings given per year on the club.
In 2001 Mo decided to marry his childhood sweetheart Saira whom he knew since his school years at the International School of Tanganyika. Mo and Saira are blessed with two beautiful children Naila and Abbas.
Two years after marriage Mo finally took full control of his company Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL) and became the Managing Director.
During his tenure the company has grown eight folds and diversified in many sectors like Agriculture, Finance, Distribution and Manufacturing.
Statistics shows that companies under METL are contributing an aggregate 2% of the Gross Domestic Product (GDP) of Tanzania and also employing 20,000 people.
Tanzania held its third multi party elections in 2005 and Mo stood for the parliamentary seat again and this time he won a landslide victory in preliminary votes and got chosen by the CCM party to stand as a candidate. In the general election he won and overwhelming majority of 90 percent of the total votes and was sworn in as a member of parliament on the 29 th of December 2005 Mohammed Dewji
Mo and sports have gone hand in hand ever since he was a child and he always kept his passion for football alive. When President Kikwete was sworn in 2005 as the fourth phase president of United Republic of Tanzania he brought back the excitement and enthusiasm to Tanzanian football team (Taifa Stars) fans, by ordering a special committee to concentrate and improve the team's performance.
Mo was appointed as chairman of the committee by Minister of Sports and under his leadership the team performed wonders by notching important victories and also geting the draws against big teams like that of Cameroon and Senegal.
After many years in exile Taifa Stars managed to qualify the continental tournament for home grown players, capping a wonderful work done by the committee and the stakeholders in the country.
In 2007 there were party elections and Mo vied for the Membership of national Executive Committee (NEC) of CCM (ruling party) and got enough votes to secure his slot in the NEC sessions for the next five years.
This is the short history of Mohammed Dewji MP, NEC member and CEO of Mohammed Enterprises Tanzania limited) who has been in forefront for development of his constituency and country altogether.