Sikiliza Clouds FM Live station ya watu.

Thursday, April 29, 2010

Tears of the most powerful man on the planet

Obama at the funeral of Dorothy Heights a civil rights activist.She touched Obama's heart in a big way.And her passing away was too much for him to bear.The last time i checked He is a true definition of a hero.Well from today onwards I am not afraid to cry nomore.

Wednesday, April 28, 2010

Kuna minjimbi imesajesti eti hakuna haja ya kujenga ukuta

Arizona yaani wanateleza kinoma kuhusu immigration law yao mpya,mtu unaweza kuwa umetoka kupata chang'aa mahali usiku ukavutwa pembeni na njagu,halafu akaanza kukuuliza makaratasi kabla ya leseni na inshuarensi.Hii ni uvunjaji wa haki ya binadamu na watu wengi wameipinga vikali ikiwemo prez Obama.Kunawatu wamesajesti hatua za kupunguza wahamiaji haramu,wahamiaji ni watu na siamini kama kuna watu haramu.Anyway wenyeji wanaona hatua zifuatazo zichukuliwe kupunguza wahamiaji badala ya kujenga ukuta.Tell me what u think?

Namuamini mvunjaji (broker) wangu

Tapeli Madoff aulizwa ilikuwaje akawaacha watu kwenye taa za trafiki

Ndundi zanukia!

Usambazaji na mahitaji

Hii ni aibu tupu kwa taifa letu la Tanzania. Walimu wa chuo kikuu cha Dar-es Salaam Wagoma kisa muhogo wao ni mdogo

University of Dar es Salaaam lecturers and other staff have announced a strike to press the government to review their retirement benefits.
UDSM Council Chairman retired Judge Joseph Warioba yesterday visited the university to request them not to strike, saying the government was working on their demands.
Efforts to get comments from the minister of Education and Vocational Training, Prof Jumanne Maghembe proved futile, while deputy minister Mwantumu Mahiza did not respond to phone calls on the issue.
The lecturers are demanding for improvement of retirement benefits administered under the Public Pension Fund which they claimed were poor compared to the benefits which other civil servants get under Public Service Pension Fund.
The strike started yesterday immediately after the meeting of the academicians under the leadership of University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly President (UDASA) Damas Nyahoro.
He said that their demands for improved retirement benefits have taken so long to be worked out with many unfulfilled promises.
He said that they had been warned that if they went on strike they would be taken to court, adding that they would not relent.
Nyahoro said social security funds were established to serve workers but it is surprising to hear that they have no funds.
He said the pension funds had the resources to pay their members good benefits.
“Today we are meeting with lecturers from other universities in the country so that we could discuss our fate,” Nyahoro said.
Speaking during the meeting the lecturers said that they are tired of the government promises which they said started ten years ago. A lecturer said they have been told that there was a circular concerning them which has been submitted to the cabinet but they were not aware of its contents.

SOURCE: THE GUARDIAN

Monday, April 26, 2010

Kuhanzia reo we charipu kuvuruta shigala utakipata cha kwako!

After public smoking was banned in Kenya , each town clerk was assigned
the duty of posting notices in Kiswahili to that effect.

See how different councils posted this advert: Other councils are still working on theirs.......

The Coast Town Clerk wrote:

Uvutaji wa sigara umepigwa marufuku kuanzia leo.Watakaopatikana wakikiuka
amri hii wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria. Nyote zingatieni.

The Kiambu Town Clerk:

Wanyuanji wa thigara washunge sana . Unyuanji wa thigara bere ya watu hata huko ije umefigwa marufuku na kaju kuanjia reo.

The Machakos Town Clerk:

Wavulutanji tusikala wasunge sana. Sasa kuvuluta tusikala ni maluvuku na kanzu ya Masaku itawasukulia atua kuvwa sana.

The Kisumu Town Clerk:

Atenson Plis!!! Mifuto sgara adharani sasa omepigwa marofuku. Okipaatwa ibiro yie Kodiaga! Apana furuta Plis!!

Wajir Town Clerk:
Habana iko buruta sigara. Yeye lishapigwa marufuk na sisi tagaamata mutu
bhahala yaghe kiburuta.

Kericho Town Clerk:

Gutoga leo gugunywa na gufuruta sigara sisi nagshagataasa. Haguna!! Charipu wee taona!!!

Saturday, April 10, 2010

Ni huzuni kubwa kwa wananchi wa poland

Nchi ya Poland leo imejikuta iko kwenye huzuni kubwa baada ya raisi wao Lech Kaczynski kupata ajali ya ndege.Yeye na Maria ambaye ni mke wake ambaye ni mchumi walikufa papo hapo baada ya ndege yao aina ya Tupolev-Tu 154 kuanguka wakati ikijaribu kutua uwanja wa ndege wa Smolensk,Russia.Lech ana ndugu yake mapacha wa kuzaliwa ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu wa poland.Miongoni waliokuwamo kwenye ndege ni maofisa wa polisi wa poland ambao nao pia hakuna alienusurika.Walikuwa wanaenda kwenye kumbukumbu ya miaka 70 ya mauaji ya Katyn.
Anyway Russia wanafikiri kuna mkono wa mtu hapo manake Raisi wa Russia Medvedev ameamuru uchunguzi wa ajali ufanyike mara moja,na wanaoshugulikia uchunguzi huo ni tume ambayo inaongozwa na waziri mkuu wa Russia Vladimir Putin. Wahenga wanasema tusubiri tuone!!!!

Baada ya kuvulunda jamaa alikuwa na haya ya kusema...part2

Watangazaji kumbe kuna saa wanavurunda!!! part 1

Funniest 911 call ever