Sikiliza Clouds FM Live station ya watu.

Friday, December 31, 2010

A belief of positive outcome.Enjoy!!!

Friday, August 6, 2010

I'm swimming in tears.

A secret letter to my love why did u break up with me?
You are out of my life,
Now I don't know whether to laugh or cry,
To live or die,
To think for many years you was here,
And I Took you For Granted I Was So Cavalier,
Damned Indecision And Cursed Pride,
I Kept My Love For you Locked Deep Inside,                                                                                                  It cuts like a knife you are out of my life.
So I've Learned That Love's Not Possession.
And I've Learned That Love Won't Wait.
Now I've Learned That Love Needs Expression.
But I Learned Too Late .
                                                          

Monday, July 5, 2010

Ya leo kali!!!

....Mwizi kaiba viatu wakati watu apo kwenye swalaa...

SPRING 2010 COMMENCEMENT ADDRESS AT OHIO STATE UNIVERSITY

http://www.wosu.org/osu-commencement/

Wednesday, May 26, 2010

Amepotea tumsaidie mwenzetu ampate nduguye

Habari nilizozipata hivi punde ni kwamba Rafiki yangu mmoja hapa Ohio ninapoishi amempoteza ndugu yake huyo kama picha na maelezo ya polisi yanavyoonyesha.Ni habari za ukweli kabisa na zinazohuzunisha.Huyo dada alikuwa anaishi maeneo ya los angels.Najua familia yao iko na hofu kubwa sasa hivi kwa kumpoteza dada yao, kwa yeyote mwenye habari zake apige simu polisi los angeles au awaandikie barua pepe.Tumsaidieni mwenzetu apatikane jamani.Watanzania popote mlipo mnaombwa kushikia bango hilo hadi apatikane.

Saturday, May 15, 2010

Kicheko kwa siku hupunguza kumwona dakitari

Today, I handed my PhD dissertation, which I have spent the past year researching and writing full-time. Last night, my roommate set an autocorrect on Word that changed "neither" to "nigger." I didn't notice until after I handed it in. My professor is black. FML

Tuesday, May 11, 2010

Tanzania one Hasheem Thabeet

Wakwetu wenyewe (Tanzania one).Hasheem Thabeet akijitahidi kumzuia Lebron James.Kwavile ni Mtanzania wa kwanza kuchezea NBA tangu hiyo ligi ianzishwe miaka ya sitini inabidi apewe heshima yake,hata kama hafanyi vizuri sana kama ambavyo wengi tungemtarajia.Mungu aendelee kukubariki Hashim na uendelee na uwe na afya na mafanikio makubwa huko mbeleni.Watanzania wote tuko nyuma yako ukifanya vizuri au vibaya.Tunajua sio rahisi lakini kaza buti uendelee mbele.

Zilipendwa

Nakumbuka jamaa alipokuja bongo nilikuwa darasa la tatu mwaka 1990.Kwakweli nakumbuka msisimko wa watu mitaani,hakuna habari nyingine yoyote ilikuwa inaendelea.Na wakati huo kulikuwa hakuna cha ITV wala redio one kwahiyo kila kitu ni gazeti la uhuru au mfanyakazi,nilikuwa nashindwa kusoma daily news manake kiinglishi kilikuwa notirichebo.haha!



Jamaa chinja chinja Idi Amin dada akienda kumsalimia nyerere,sijui hapo nyerere anafikiria nini huku akimchekea,I wish waliokuwepo wangetupa stori .

Barua ya mzee kifimbo kwa mabepari

Mzee Nyerere aliwaandikia barua makabaila na kuwaambia sisi huku kwetu mashindano yenu ya nyuklia hayatuhusu,sijui nani ana nguvu kuliko nani,kama vile kwenu nyinyi ambavyo hamjali kuhusu sisi walalahoi kama tumekula au hatujala.Akaongeza nyie huko hamlali kwasababu ya kuhofia kulipuana wenyewe kwa wenyewe sisi huku hatulali kwasababu hatuna muhogo na nyama na hatujui tutaipata wapi.


Thursday, April 29, 2010

Tears of the most powerful man on the planet

Obama at the funeral of Dorothy Heights a civil rights activist.She touched Obama's heart in a big way.And her passing away was too much for him to bear.The last time i checked He is a true definition of a hero.Well from today onwards I am not afraid to cry nomore.

Wednesday, April 28, 2010

Kuna minjimbi imesajesti eti hakuna haja ya kujenga ukuta

Arizona yaani wanateleza kinoma kuhusu immigration law yao mpya,mtu unaweza kuwa umetoka kupata chang'aa mahali usiku ukavutwa pembeni na njagu,halafu akaanza kukuuliza makaratasi kabla ya leseni na inshuarensi.Hii ni uvunjaji wa haki ya binadamu na watu wengi wameipinga vikali ikiwemo prez Obama.Kunawatu wamesajesti hatua za kupunguza wahamiaji haramu,wahamiaji ni watu na siamini kama kuna watu haramu.Anyway wenyeji wanaona hatua zifuatazo zichukuliwe kupunguza wahamiaji badala ya kujenga ukuta.Tell me what u think?

Namuamini mvunjaji (broker) wangu

Tapeli Madoff aulizwa ilikuwaje akawaacha watu kwenye taa za trafiki

Ndundi zanukia!

Usambazaji na mahitaji

Hii ni aibu tupu kwa taifa letu la Tanzania. Walimu wa chuo kikuu cha Dar-es Salaam Wagoma kisa muhogo wao ni mdogo

University of Dar es Salaaam lecturers and other staff have announced a strike to press the government to review their retirement benefits.
UDSM Council Chairman retired Judge Joseph Warioba yesterday visited the university to request them not to strike, saying the government was working on their demands.
Efforts to get comments from the minister of Education and Vocational Training, Prof Jumanne Maghembe proved futile, while deputy minister Mwantumu Mahiza did not respond to phone calls on the issue.
The lecturers are demanding for improvement of retirement benefits administered under the Public Pension Fund which they claimed were poor compared to the benefits which other civil servants get under Public Service Pension Fund.
The strike started yesterday immediately after the meeting of the academicians under the leadership of University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly President (UDASA) Damas Nyahoro.
He said that their demands for improved retirement benefits have taken so long to be worked out with many unfulfilled promises.
He said that they had been warned that if they went on strike they would be taken to court, adding that they would not relent.
Nyahoro said social security funds were established to serve workers but it is surprising to hear that they have no funds.
He said the pension funds had the resources to pay their members good benefits.
“Today we are meeting with lecturers from other universities in the country so that we could discuss our fate,” Nyahoro said.
Speaking during the meeting the lecturers said that they are tired of the government promises which they said started ten years ago. A lecturer said they have been told that there was a circular concerning them which has been submitted to the cabinet but they were not aware of its contents.

SOURCE: THE GUARDIAN

Monday, April 26, 2010

Kuhanzia reo we charipu kuvuruta shigala utakipata cha kwako!

After public smoking was banned in Kenya , each town clerk was assigned
the duty of posting notices in Kiswahili to that effect.

See how different councils posted this advert: Other councils are still working on theirs.......

The Coast Town Clerk wrote:

Uvutaji wa sigara umepigwa marufuku kuanzia leo.Watakaopatikana wakikiuka
amri hii wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria. Nyote zingatieni.

The Kiambu Town Clerk:

Wanyuanji wa thigara washunge sana . Unyuanji wa thigara bere ya watu hata huko ije umefigwa marufuku na kaju kuanjia reo.

The Machakos Town Clerk:

Wavulutanji tusikala wasunge sana. Sasa kuvuluta tusikala ni maluvuku na kanzu ya Masaku itawasukulia atua kuvwa sana.

The Kisumu Town Clerk:

Atenson Plis!!! Mifuto sgara adharani sasa omepigwa marofuku. Okipaatwa ibiro yie Kodiaga! Apana furuta Plis!!

Wajir Town Clerk:
Habana iko buruta sigara. Yeye lishapigwa marufuk na sisi tagaamata mutu
bhahala yaghe kiburuta.

Kericho Town Clerk:

Gutoga leo gugunywa na gufuruta sigara sisi nagshagataasa. Haguna!! Charipu wee taona!!!

Saturday, April 10, 2010

Ni huzuni kubwa kwa wananchi wa poland

Nchi ya Poland leo imejikuta iko kwenye huzuni kubwa baada ya raisi wao Lech Kaczynski kupata ajali ya ndege.Yeye na Maria ambaye ni mke wake ambaye ni mchumi walikufa papo hapo baada ya ndege yao aina ya Tupolev-Tu 154 kuanguka wakati ikijaribu kutua uwanja wa ndege wa Smolensk,Russia.Lech ana ndugu yake mapacha wa kuzaliwa ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu wa poland.Miongoni waliokuwamo kwenye ndege ni maofisa wa polisi wa poland ambao nao pia hakuna alienusurika.Walikuwa wanaenda kwenye kumbukumbu ya miaka 70 ya mauaji ya Katyn.
Anyway Russia wanafikiri kuna mkono wa mtu hapo manake Raisi wa Russia Medvedev ameamuru uchunguzi wa ajali ufanyike mara moja,na wanaoshugulikia uchunguzi huo ni tume ambayo inaongozwa na waziri mkuu wa Russia Vladimir Putin. Wahenga wanasema tusubiri tuone!!!!

Baada ya kuvulunda jamaa alikuwa na haya ya kusema...part2

Watangazaji kumbe kuna saa wanavurunda!!! part 1

Funniest 911 call ever

Wednesday, March 31, 2010

Rapa mashuhuri Flesh-n-bone wa Bone thugz n Harmony akamatwa na polisi akipafomu on stage.


Jina lake kamili ni stanley Howse alikamatwa jana akiwa kwenye stage akipafomu na grupu lake mjini cleveland Ohio kwenye ukumbi wa house of blues usiku wa saa sita.Soo alilokamatwa nalo ni la mwaka 1998 alimpiga na kikumbo cha bastola mama yake mzazi,ambaye alikuwa anajaribu kumuamulia asigombane na mtu mwingine.Mama yake alijeruhiwa vibaya kichwani,na pia watu kadhaa walijeruhiwa.Polisi juzi walijitetea kwamba hawakuwa na nia ya kuharibu show ila baada ya mtu kumtonya Flesh N bone kwamba ndata zimemzunguka na kwamba wanamsubiri,jamaa akawaanataka kuporonyoka stejini na kutoka kutokea kwenye dirisha la chooni ndipo wakamdaka.
Moja kati ya nyimbo zao nilikuwa nazizimia ni ule wa "home" ambao walimshirikisha phil collins.Anyway natumaini atatoka na kuendelea kusambaza burudani kama kawaida.

Jamani mtamu wangu( mysweetie) umepata barua kutoka kwa nani tena mbona waniogepesha?

Michelle alipata barua akitembea nje kwenye bustani yake ya ikulu kutoka kwa mtoto mdogo.Alikuwa anamuuliza kama anapenda ice cream na cake,na kwamba angefurahi kama angetembelea shule yake.Halafu alimwandikia kwamba msalimie na Barack.Michelle akaamua amuite Barack aisome mwenyewe.Huko Afrika kwetu yaani Raisi asome barua kutoka kwa mtoto au akae  kujibu maswali ya watoto ni kitu hakionekanagi mara nyingi.Nakumbuka shule niliyosoma muhimbili pimary yaani mwalimu mkuu akitokea tu inabidi ukimbie manake anaweza akakuwasha viboko vitatu au vinne kwa kuzulula hovyo.Labda tutafika siku moja kujua kwamba binadamu wote ni sawa,na wanahaki ya kusikilizwa bila kujali umri wala kabila.

Jinogee wanajeshi wa rwanda wakicheza twisti baada ya ushindi wa vita.

Monday, March 29, 2010

President Kagame in London for The Commonwealth Flag raising Ceremony- London, 8-11 March 2010



              Wa kwanza Kushoto ni mke wa Nwanko Kanu,halafu wa pili kushoto hahitaji kutambulishwa kama wewe ni mshabiki mzuri wa mpira wa miguu au timu iliyokuwa ikiitwa super eagles,halafu mzee mzima Kagame na his beloved gorgeous wife Jeanette.
              Nchi ya Rwanda sasa imekuwa mwanachama kamili wa jumuiya ya madola.Hii ni muungano wa nchi zote zilizowahi kutawaliwa na Uingereza.Mojawapo ya faida za kujiunga huko ni makubaliano mazuri kati ya nchi wanachama ya kuuza na kununua bidhaa mbalimbali kwa masharti na gharama nafuu.Kazi nzuri Paul.

Sunday, February 21, 2010

Wage inflation

Engineers and scientists  will never make as much money as business executives. A rigorous mathematical proof explains why this is true:
Postulate 1: Knowledge is power.
Postulate 2: Time is money.

As every engineer knows:
Power = Work / Time
Since: Knowledge = Power, and Time = Money
Then: Knowledge = Work / Money
Solving for money we get: Money = Work / Knowledge
Thus, as knowledge approaches zero, money approaches infinity regardless of the work done.
Conclusion: The less you know, the more you make!

TOP TEN THINGS ENGINEERING SCHOOL DIDNT TEACH YOU!!!!

10. There are at least 10 types of capacitors.
9. Theory tells you how a circuit works, not why it does not work.
8. Not everything works according to the specs in the databook.
7. Anything practical you learn will be obsolete before you use it, except the complex math, which you will never use.
6. Always try to fix the hardware with software.
5. Engineering is like having an 8 a.m. class and a late afternoon lab every day for the rest of your life.
4. Overtime pay? What overtime pay?
3. Managers, not engineers, rule the world.
2. If you like junk food, caffeine and all-nighters, go into software.
1. Dilbert is not a comic strip, it's a documentary.

When an Engineer falls in love.!!!!!!

Hi dear!

Yesterday, I was passing by your rectangular house in
trigonometric lane. There I saw you with your cute
circular face, conical nose and spherical eyes,
standing in your triangular garden.

Before seeing you my heart was a null set, but when a
vector of a particular magnitude from your eyes at a
deviation of theta radians made a tangent to my heart,
my heart differentiated.

My love for you is a quadratic equation with real
roots, which only you can solve by making good binary
relation with me.

The tangent of my love for you extends to infinity. I
promise that I should not resolve you into partial
fractions but if I do so, you can integrate me by
applying the limits from zero to infinity.

You are as essential to me as an element to aset.

The geometry of my life revolves around your acute
personality.

My love, if you do not meet me at parabola restaurant
on date 10 at sunset, when the sun is making an angle
of 160 degrees, my heart would be like a solved
polynomial of degree 10.

With love from your higher order derivatives of maxima
and minima, of an unknown function. You make my heart
pump like a turbo diesel engine"

" Who still say engineers cannot charm ladies?????

Saturday, February 20, 2010

The Most bufoon (Kituko) General after Iddi Amin

 
   Alexander haig,jr  alianza career yake  kama mwanajeshi wa kawaida wa jeshi la Marekani mwaka 1947.Aliendelea kupanda cheo Jeshini Mpaka akafikia cheo cha Vice chief of staff of the Army.kwa kifupi ni bosi namba mbili wa jeshi la marekani(number two ranking-officer in the army).
    Baada ya mafanikio makubwa jeshini Raisi Richard Nixon akamchagua kama msaidizi wake katika ushauri wa mambo yanayohusu usalama.Na mwaka 1981 mwezi wa kwanza raisi Regan aliona Haig anamsaada mkubwa sana na akamuomba kuwa waziri mkuu( Chief secretary of state).Baada ya hapo vituko ndio vikaanza.Mwezi wa tatu (march),raisi Regan alishambuliwa kwa risasi katika jaribio la kumuua,risasi ilimpata kifuani na akakimbizwa hospitali kuu ya kijeshi kutibiwa.Chief of staff Haig akaona hapo ndio mahali pa kuonyesha vituko vyake.Haraka alitokea kwa waandishi wa habari na kuwaambia yafuatayo:

     "Constitutionally, gentlemen, you have the President, the Vice President and the Secretary of State in that order, and should the President decide he wants to transfer the helm to the Vice President, he will do so. He has not done that. As of now, I am in control here, in the White House, pending return of the Vice President and in close touch with him. If something came up, I would check with him, of course."

maana yake
" Waungwana ,kikatiba mlolongo wa madaraka ni raisi,makamu wa raisi halafu waziri mkuu (ambaye alikuwa yeye),na kama raisi akitaka kuhamisha madaraka kwa makamu wake wa raisi atafanya hivyo,lakini kwa sasa hajafanya hivyo.Mimi ndio mdhibiti hapa Ikulu.Namsubiri makamu wa rahisi arudi na nitamgusia naye kwa karibu na kama jambo likija, napenda kuangalia pamoja naye, bila shaka".

Wengi waliposikia maneno yake walishikwa na bumbuwazi,manake Marekani ni nchi imejengwa kufuata misingi ya kikatiba na yeye Haig hakuonyesha kuifahamu wala kuiheshimu katiba.Lakini yeye alitaka kuituliza nchi kwa kuonyesha ujasiri wake wa kijeshi kwa wananchi wa marekani ambao walishaanza kuchanganyikiwa kwa hofu kubwa baada ya raisi wao kupigwa risasi.Alitaka kuwapa uhakika kwamba kila kitu kiko sawa.

Kwakawaida katiba ya Marekani inasema raisi akishindwa kuongoza nchi kwa ugonjwa au akifa ghafla ili Vice president au secretary of state aongoze nchi inabidi spika wa bunge,na rais pro tempore wa Senate  (wakati huo, J. Strom Thurmond), wajiuzulu na kuchukua wadhifa wa vice president .Na utaratibu huo huchukua muda.

Miaka mingi baadae  mwaka 2001 aliulizwa kwenye kipindi cha 60 minutes alikuwa na maana gani akisema "i'm in control here", akajibu     "I wasn't talking about transition. I was talking about the executive branch, who is running the government. That was the question asked. It was not, "Who is in line should the President die?"


Wednesday, February 17, 2010

MJUE MCDONALD MARIGA WANYAMA

 
   Alizaliwa  april 4th,1987  kamukunji Kenya.Anaongea kiswahili cha kuchekesha cha kikenya ambacho mara nyingi kimechanganyika na maneno ya kizungu na lafudhi za kikuyu.Sisi wa Tanzania tunakiita kiswanglish.Ameenda high school ya kamukunji na ni mtoto wa mkulima wa kawaida tu Kenya.Ni mchezaji wa mpira wa miguu na nafasi yake ni ulinzi wa kati (midfield). January 2010 Inter Milan  ambayo ni klabu kubwa ya daraja la kwanza nchini itali ilimnunua kutoka Parma(klabu nyingine kubwa ya daraja la kwanza) ilimnunua kwa yuro million mbili sawa na dola million nne za kimarekani,manake club yao inahitaji mlinzi wa kati vibaya sana na Micdonald ndio mwenyewe haswa.Amesaini mkataba wa miaka minne.Mmoja kati ya mashabiki wake wakubwa ni waziri mkuu wa kenya Raila Odinga ambaye alitumia masaa matatu ya simu kutoka afrika akiongea na Gordon brown ili Mcdonald apewe kibali cha kufanya kazi ndipo aweze kuichezea Manchester City ambayo ni timu kubwa na ya daraja la kwanza Uingereza.Manchester City walikuwa wa kwanza kumng'angania na walikuwa tayari kumpa dau kubwa lakini sheria ngunguri na za kibaguzi za kiingereza zilimzuia.Mungu ambariki katika safari yake hiyo labda siku moja ataweza kufungua milango kwa waswahili wengine pia.Juhudi na kipaji cha mtu kinaweza kumfikisha mtu na hata kuinua jamii yake hadi juu kabisa.

Saturday, February 13, 2010

Martina Chambire singing Tanzania ee

Niliupenda sana wimbo huu ,niliusikia mara ya kwanza nikiwa form 1,1995.

Monday, February 1, 2010

An Invisible hand to produce the greatest social good.

Wadau haya ni maneno ya busara kutoka kwa waanzilishi wa ubepari Adam Smith na mimi nikaona niwagawie kidogo.Furahia busara hiyo.Kwa hiyo wakati mwingine ukiona watu wanashindana ujue kunamaendeleo.

"Competition among sellers has caused increased attempts to develop better products,It is not from their benovelence that we expect our dinner,but from their regard of their own interest.The first to succeed in that competition enjoys higher profits than their rivals,but only temporarily.As others copied new products and methods and so they put inevitable downward pressure on prices.In seeking to promote their own advantage,the ultimate beneficiaries are customers."

Sunday, January 3, 2010

France Rwanda Conflict

France and Rwanda were in conflict,accusing each other of 1994 genocide,i am thinking both of them are responsible.I just laughed at how Paul Kagame insulting the french lawyer who issued his arrest.

wwiTV - Watch CNBC Live TV broadcast from USA [a-l].

wwiTV - Watch CNBC Live TV broadcast from USA [a-l].

Posted using ShareThis

Saturday, January 2, 2010

African accent-prank call

Very very funny,you will laugh so hard,don't blame me if ur ribs crack up.

Friday, January 1, 2010

Je unapenda kudowea wi-fi ya bure?fikiria kwanza inaweza kukutokea puani.

Kwa wale wapenda mitelemko kama mimi,wadau Kalifonia na sehemu zingine wameanzisha karatasi na kukusanya sahihi za watu,ili miji yao ipitishe sheria kuhusu wadandiaji wa internet za bure haswa kwenye majumba ya watu na sehemu za maofisini.Lakini kuna watu wengine wana mawazo tofauti na wanafikiri sio kosa kudandia internet wireless ya bure kwa jirani yako.Haya ndio mawazo yako,napenda kujua na yakwako.Furahia na changia mawazo.


The piggybacker is using the wireless internet connection paid for by another without sharing the cost. This is especially commonplace in an apartment building where many residents live within the normal range of a single wireless connection. Some residents are able to gain free Internet access while others pay. Many ISPs charge monthly rates, however, so there is no difference in cost to the network owner.
People who love piggybacking compare it to :

* Sitting behind another passenger on a train, and reading their newspaper over their shoulder.[2]
* Enjoying the music a neighbour is playing in their backyard.
* Using a drinking fountain.
* Sitting in a chair put in a public place.
* Reading from the light of a porch light or streetlamp.
* Accepting an invitation to a party, since unprotected wireless routers can be interpreted as being open to use.
* Borrowing a cup of sugar [3]

Opponents to piggybacking compare the practice to:

* Entering a home just because the door is unlocked
* Hanging on the outside of a bus to obtain a free ride.
* Connecting one's own wire to a neighbour's house to obtain free cable TV service when the neighbour is a subscriber.



Excessive piggybacking may slow the host's connection, with the host typically unaware of the reason for the reduction of speed. This is more of a problem where a large number of persons are engaging in this practice, such as in an apartment or near a business.