Sikiliza Clouds FM Live station ya watu.

Tuesday, May 11, 2010

Barua ya mzee kifimbo kwa mabepari

Mzee Nyerere aliwaandikia barua makabaila na kuwaambia sisi huku kwetu mashindano yenu ya nyuklia hayatuhusu,sijui nani ana nguvu kuliko nani,kama vile kwenu nyinyi ambavyo hamjali kuhusu sisi walalahoi kama tumekula au hatujala.Akaongeza nyie huko hamlali kwasababu ya kuhofia kulipuana wenyewe kwa wenyewe sisi huku hatulali kwasababu hatuna muhogo na nyama na hatujui tutaipata wapi.


No comments:

Post a Comment