Sikiliza Clouds FM Live station ya watu.

Tuesday, May 11, 2010

Zilipendwa

Nakumbuka jamaa alipokuja bongo nilikuwa darasa la tatu mwaka 1990.Kwakweli nakumbuka msisimko wa watu mitaani,hakuna habari nyingine yoyote ilikuwa inaendelea.Na wakati huo kulikuwa hakuna cha ITV wala redio one kwahiyo kila kitu ni gazeti la uhuru au mfanyakazi,nilikuwa nashindwa kusoma daily news manake kiinglishi kilikuwa notirichebo.haha!



Jamaa chinja chinja Idi Amin dada akienda kumsalimia nyerere,sijui hapo nyerere anafikiria nini huku akimchekea,I wish waliokuwepo wangetupa stori .

No comments:

Post a Comment